Physiotherapy & Rehabilitation

legs numbness

Nasumbuliwa na Ganzi ya Miguu, Nifanyeje?

Ganzi ya miguu ni hali ya kukosa hisia au kuhisi kama kuchoma choma au sindano kwenye miguu, mara nyingi husababishwa na kugandamizwa kwa mishipa ya fahamu. Kugandamizwa huku husababishwa na kuteleza kwa pingili za mgongo (disc herniation), kusagika kwa pingili za uti wa mgongo (degenerative disc diseases) na mikao isiyo sahihi kwa muda mrefu. Lakini […]

Nasumbuliwa na Ganzi ya Miguu, Nifanyeje? Read More »

Ugonjwa wa Kiharusi: Maana, Aina, Dalili, na Tiba

Kiharusi ni hali ya dharura ya kiafya inayotokea pale ambapo damu inashindwa kufika kwenye sehemu fulani ya ubongo, ambayo hutokana na kuziba kwa mshipa wa damu au kupasuka kwa mshipa ya damu inayopeleka damu kwenye ubongo. Matokeo yake ni kuharibika kwa seli za ubongo, jambo linaloweza kusababisha kupoteza uwezo wa kuzungumza, kutembea, au hata kufanya

Ugonjwa wa Kiharusi: Maana, Aina, Dalili, na Tiba Read More »

Faida za Mazoezi Tiba Kwenye Maumivu Sugu ya Viungo

Mazoezi tiba (Therapeutic exercises) ni miongoni mwa tiba ambayo hutumiwa na wataalamu wa tiba za viungo kutibu magonjwa mbalimbali. Tiba hii ni sehemu muhimu ya matibabu kwa watu wanaosumbuliwa na maumivu sugu kama ya mgongo, viungo, shingo, mabega, na magoti. Maumivu haya, mara nyingi, hutokana na hali kama vile homa yabisi (arthritis), matatizo ya pingili

Faida za Mazoezi Tiba Kwenye Maumivu Sugu ya Viungo Read More »

Utindio wa Ubongo ni Nini? Dalili, Aina, na Jinsi ya Kutibu

Utindio wa ubongo (Cerebral Palsy – CP) ni kundi la matatizo yanayoathiri uwezo wa mtu kutembea na kudumisha usawa na mkao sahihi.  Tatizo hili husababishwa na maendeleo yasiyo ya kawaida ya ubongo au uharibifu katika ubongo unaokua, ambao huathiri uwezo wa mtu kudhibiti misuli yake. Ni hali maarufu zaidi ya ulemavu wa mwendo (movement disability)

Utindio wa Ubongo ni Nini? Dalili, Aina, na Jinsi ya Kutibu Read More »

Maumivu ya Kisigino: Sababu na Matibabu

Maumivu ya Kisigino: Sababu, Matibabu na Njia za Kuzuia

Maumivu ya kisigino ni tatizo linaloathiri mamilioni ya watu duniani, ikiwa chanzo cha usumbufu mkubwa katika maisha ya kila siku.  Maumivu haya yanaweza kuwa kikwazo kikubwa katika utendaji wa kawaida wa mwili, hasa kwa wale wanaotegemea miguu kwa shughuli za kila siku kama kutembea, kusimama kazini au kushiriki michezo. Hata hivyo, maumivu ya kisigino ni

Maumivu ya Kisigino: Sababu, Matibabu na Njia za Kuzuia Read More »

Tiba ya Maumivu ya Mfupa wa Mkia wa Uti wa Mgongo

Matibabu ya tatizo hili yanahusisha tiba mbalimbali ikiwamo dawa kwa ajili ya kuondoa maumivu au ugonjwa unaopelekea maumivu, tiba ya viungo (physiotherapy) na muda mwingine huhitaji upasuaji kutibu tatizo. Hivyo ni muhimu kufanya uchunguzi kwa makini ili kujua chanzo cha tatizo kwa lengo la kupata huduma au tiba sahihi kwa mgonjwa. Lakini kabla sijaendelea, naomba

Tiba ya Maumivu ya Mfupa wa Mkia wa Uti wa Mgongo Read More »

Visababishi na Dalili za Maumivu ya Mfupa wa Mkia wa Uti wa Mgongo

Maumivu ya mfupa wa mkia wa mgongo, ambayo pia hujulikana kama Coccygodynia, coccalgia, coccygeal neuralgia, ni tatizo linaloambatana na dalili za maumivu yanayotokea katika eneo la mfupa wa mkia (coccyx). Maumivu haya hujitokeza mara nyingi wakati mtu ameketi, lakini pia yanaweza kujitokeza mtu anapobadilika kutoka kuketi hadi kusimama. Mara nyingi maumivu haya hupotea ndani ya

Visababishi na Dalili za Maumivu ya Mfupa wa Mkia wa Uti wa Mgongo Read More »

Low back pain causes and treatment

“Mgongo Ukikataa, Mwili Mzima Unalia”

Maumivu ya mgongo wa chini ni tatizo kubwa la afya kwenye jamii nyingi na ndio linaloongoza kwa kusababisha ulemavu duniani. Kutokana na takwimu za shirika la afya duniani (WHO) za hivi karibuni, inakadiriwa kuwa watu milioni 619 wanaishi na maumivu ya mgongo wa chini. Pia inakadiriwa kuwa idadi ya visa itaongezeka hadi kufikia milioni 843 ifikapo mwaka

“Mgongo Ukikataa, Mwili Mzima Unalia” Read More »

Tiba ya Maumivu ya Goti ni Ipi?

Zipo tiba malimbali za maumivu ya goti ikiwemo matumizi ya dawa, upasuaji na tiba za fiziotherapia ambapo kila tiba ina nafasi yake katika kumsaidia mgonjwa wa  goti au magoti. Kwenye makala hii nitajikita zaidi katika kuelezea namna tiba za fiziotherapia zinavyoweza kusaidia katika matibabu ya maumivu ya goti au magoti.  Mtaalam wa fiziotherapia ana mchango

Tiba ya Maumivu ya Goti ni Ipi? Read More »

Fahamu Visababishi na Mambo Yanayoongeza Hatari ya Maumivu ya Goti

Goti ni kiungo muhimu sana katika mwili kinachoshiriki katika shughuli mbalimblai ikiwemo kutembea, kukimbia, na katika michezo mbalimbali.  Maumivu ya goti ni tatizo ambalo linaweza kuathiri watu wa rika zote na linaweza kuwa na athari kubwa katika shughuli za kila siku.   Tafiti zinaeleza kwamba asilimia 5% ya wagonjwa wanaoripoti katika vituo vya kutolea huduma

Fahamu Visababishi na Mambo Yanayoongeza Hatari ya Maumivu ya Goti Read More »