“Mgongo Ukikataa, Mwili Mzima Unalia”
Maumivu ya mgongo wa chini ni tatizo kubwa la afya kwenye jamii nyingi na ndio linaloongoza kwa kusababisha ulemavu duniani. Kutokana na takwimu za shirika la afya duniani (WHO) za hivi karibuni, inakadiriwa kuwa watu milioni 619 wanaishi na maumivu ya mgongo wa chini. Pia inakadiriwa kuwa idadi ya visa itaongezeka hadi kufikia milioni 843 ifikapo mwaka […]
“Mgongo Ukikataa, Mwili Mzima Unalia” Read More »