COMPANY BLOG

And Updates

maumivu ya bega
Chanzo, Tiba na Namna ya Kujikinga na Maumivu ya Bega 
Je, unapata shida au maumivu wakati wa kuvaa koti au shati?  Wewe ni mwalimu ukisimama darasani kuandika ubaoni na ghafla ukahisi bega lako limekaza kana kwamba linakataa kushirikiana? Au...
maumivu ya paja
Sababu, Tiba na Namna ya Kujiepusha na Maumivu ya Misuli ya Paja
Umewahi kukimbia ghafla au kupiga mpira na kuhisi paja linakukata?  Maumivu ya misuli ya paja ni jambo la kawaida kwa wanamichezo na hata watu wa kawaida. Mara nyingi hutokea baada ya shughuli...
a man sleeping
Mikao na Milalo Sahihi kwa Ajili ya Afya ya Mgongo
Je umewahi kuamka asubuhi ukiwa na maumivu ya mgongo bila kujua chanzo chake ni nini? Au kila baada ya kuendesha gari au kukaa ofisini muda mrefu, maumivu ya mgongo yanaanza kukutembelea? Huenda...
ganzi ya miguu
Nasumbuliwa na Ganzi ya Miguu, Nifanyeje?
Ganzi ya miguu ni hali ya kukosa hisia au kuhisi kama kuchoma choma au sindano kwenye miguu, mara nyingi husababishwa na kugandamizwa kwa mishipa ya fahamu. Kugandamizwa huku husababishwa na kuteleza...
a stroke patient
Ugonjwa wa Kiharusi: Maana, Aina, Dalili, na Tiba
Kiharusi ni hali ya dharura ya kiafya inayotokea pale ambapo damu inashindwa kufika kwenye sehemu fulani ya ubongo, ambayo hutokana na kuziba kwa mshipa wa damu au kupasuka kwa mshipa ya damu inayopeleka...
umuhimu wa mazoezi tiba
Faida za Mazoezi Tiba Kwenye Maumivu Sugu ya Viungo
Mazoezi tiba (Therapeutic exercises) ni miongoni mwa tiba ambayo hutumiwa na wataalamu wa tiba za viungo kutibu magonjwa mbalimbali. Tiba hii ni sehemu muhimu ya matibabu kwa watu wanaosumbuliwa...
mtoto mwenye utindio wa ubongo
Utindio wa Ubongo ni Nini? Dalili, Aina, na Jinsi ya Kutibu
Utindio wa ubongo (Cerebral Palsy – CP) ni kundi la matatizo yanayoathiri uwezo wa mtu kutembea na kudumisha usawa na mkao sahihi.  Tatizo hili husababishwa na maendeleo yasiyo ya kawaida ya...
maumivu ya kisigino
Maumivu ya Kisigino: Sababu, Matibabu na Njia za Kuzuia
Maumivu ya kisigino ni tatizo linaloathiri mamilioni ya watu duniani, ikiwa chanzo cha usumbufu mkubwa katika maisha ya kila siku.  Maumivu haya yanaweza kuwa kikwazo kikubwa katika utendaji...
tiba ya maumivu ya mkia wa uti wa mgongo
Tiba ya Maumivu ya Mfupa wa Mkia wa Uti wa Mgongo
Matibabu ya tatizo hili yanahusisha tiba mbalimbali ikiwamo dawa kwa ajili ya kuondoa maumivu au ugonjwa unaopelekea maumivu, tiba ya viungo (physiotherapy) na muda mwingine huhitaji upasuaji kutibu tatizo. Hivyo...
maumivu ya mkia wa uti wa mgongo
Visababishi na Dalili za Maumivu ya Mfupa wa Mkia wa Uti wa Mgongo
Maumivu ya mfupa wa mkia wa mgongo, ambayo pia hujulikana kama Coccygodynia, coccalgia, coccygeal neuralgia, ni tatizo linaloambatana na dalili za maumivu yanayotokea katika eneo la mfupa wa mkia (coccyx)....
1 2 3