COMPANY BLOG
And Updates
October 20, 2025
Ganzi ya miguu ni hali ya kukosa hisia au kuhisi kama kuchoma choma au sindano kwenye miguu, mara nyingi husababishwa na kugandamizwa kwa mishipa ya fahamu. Kugandamizwa huku husababishwa na kuteleza kwa...
September 23, 2025
Kiharusi ni hali ya dharura ya kiafya inayotokea pale ambapo damu inashindwa kufika kwenye sehemu fulani ya ubongo, ambayo hutokana na kuziba kwa mshipa wa damu au kupasuka kwa mshipa ya damu inayopeleka...
September 13, 2025
Mazoezi tiba (Therapeutic exercises) ni miongoni mwa tiba ambayo hutumiwa na wataalamu wa tiba za viungo kutibu magonjwa mbalimbali. Tiba hii ni sehemu muhimu ya matibabu kwa watu wanaosumbuliwa na maumivu...
August 8, 2025
Utindio wa ubongo (Cerebral Palsy – CP) ni kundi la matatizo yanayoathiri uwezo wa mtu kutembea na kudumisha usawa na mkao sahihi. Tatizo hili husababishwa na maendeleo yasiyo ya kawaida ya ubongo...
August 6, 2025
Maumivu ya kisigino ni tatizo linaloathiri mamilioni ya watu duniani, ikiwa chanzo cha usumbufu mkubwa katika maisha ya kila siku. Maumivu haya yanaweza kuwa kikwazo kikubwa katika utendaji wa kawaida...
July 9, 2025
Matibabu ya tatizo hili yanahusisha tiba mbalimbali ikiwamo dawa kwa ajili ya kuondoa maumivu au ugonjwa unaopelekea maumivu, tiba ya viungo (physiotherapy) na muda mwingine huhitaji upasuaji kutibu tatizo....
July 8, 2025
Maumivu ya mfupa wa mkia wa mgongo, ambayo pia hujulikana kama Coccygodynia, coccalgia, coccygeal neuralgia, ni tatizo linaloambatana na dalili za maumivu yanayotokea katika eneo la mfupa wa mkia (coccyx)....
July 5, 2025
Maumivu ya mgongo wa chini ni tatizo kubwa la afya kwenye jamii nyingi na ndio linaloongoza kwa kusababisha ulemavu duniani. Kutokana na takwimu za shirika la afya duniani (WHO) za hivi karibuni,...
June 11, 2025
Zipo tiba malimbali za maumivu ya goti ikiwemo matumizi ya dawa, upasuaji na tiba za fiziotherapia ambapo kila tiba ina nafasi yake katika kumsaidia mgonjwa wa goti au magoti. Kwenye makala hii nitajikita...
June 3, 2025
Goti ni kiungo muhimu sana katika mwili kinachoshiriki katika shughuli mbalimblai ikiwemo kutembea, kukimbia, na katika michezo mbalimbali. Maumivu ya goti ni tatizo ambalo linaweza kuathiri watu wa rika...
No posts found
