Chronic Diseases

Mambo matatu ya kuzingatia baada ya Upasuaji

Baada ya kufanyiwa upasuaji mkubwa kama wa uzazi, tumbo, mifupa na kadhalika, mwili wako huwa haubaki kama ulivokuwa. Mengi huwa yanatokea mfano, ngozi iliyokuwa imefunga hubaki na uwazi; kupoteza kiasi kingi cha maji, damu na seli baddhi; mwili kubaki na uchovu kwa sababu ya dawa za usingizi; na pia maumivu ya kidonda. Sasa baada ya […]

Mambo matatu ya kuzingatia baada ya Upasuaji Read More »

Hiki ndicho hutokea baada ya kupata au kunusurika ajali

1. Athari ya kisaikologia (mental trauma) Mtu aliyepona au kunusurika na ajali huathirika kisaikologia kiasi cha kuogopa hata kupanda gari, na anapopanda gari basi huwa na hofu kubwa sana (phobia). Jambo hili huweza kuathiri mpaka utendaji wake wa kazi. 2. Maumivu ya viungo Baada ya ajali, mtu huweza kuvunjika au kupata maumivu/majeraha makubwa ambayo huweza

Hiki ndicho hutokea baada ya kupata au kunusurika ajali Read More »

Daktari kwanini usianzishe huduma ya afya nyumbani?

Ni maneno ya kaka mmoja, Bwana Erick Rutahya, aliyekuwa akimuuguza mke wake mwenye kansa ya titi. Walikuwa wanaishi maeneo ya kimara suka. Nilikutana naye wakati amekuja kuchukua majibu ya vipimo vya mke wake katika kituo cha afya nlichokuwa nafanya kazi, MCD Hospital. Baada ya kunielezea hali ya mke wake na jinsi ilivyo changamoto kumsafirisha mpaka

Daktari kwanini usianzishe huduma ya afya nyumbani? Read More »

Jinsi ya kuishi na ugonjwa wa Moyo, kisukari, HIV/UKIMWI, au Kansa baada ya kutoka hospitali

Kumeza dawa zako kila siku na muda ule ule – hii ni ishara ya nidhamu na kukubali ugonjwa Na mara kwa mara wagonjwa wanao fanya Hivi huwa na matokeo mazuri. Epuka kumeza dawa kadiri unavojiskia na Kutomeza siku kadhaa, hii huuchanganya mwili na kufanya ugonjwa wako kuendelea kukua. Kuwa na daktari wako wa karibu Hii

Jinsi ya kuishi na ugonjwa wa Moyo, kisukari, HIV/UKIMWI, au Kansa baada ya kutoka hospitali Read More »

What you didn’t know about home healthcare services

1. It is not a luxury service, it’s a health improvement service. 2. It ain’t grandeur to have your own doctor for consultation, rather it’s a sign for personal development and growth 3. It’s a ‘must’ service if you have a chronic sick patient For more information about our home healthcare services, please visit our

What you didn’t know about home healthcare services Read More »