Ansbert Mutashobya, MD

Pioneering the future of healthcare in Tanzania and East Africa by harnessing the power of technology to revolutionize patient care and improve outcomes.

home exercises

Vijue Vifaa Vitatu Muhimu kwa Mazoezi ya Nyumbani 

Najua unapenda kufanya mazoezi nyumbani kama mimi au sio? Binafsi nilianza kufanya mazoezi nyumbani kwa sababu kuu tatu.  Kwanza, muda finyu wa kwenda Gym Kila siku. Napenda sana mazoezi lakini kila muda wa Gym ulipofika nilijikuta sina muda kabisa na hivyo kujikuta nakosa hadi wiki mbili mfululizo.  Pili, kiuchumi. Gym nyingi za mjini ni gharama […]

Vijue Vifaa Vitatu Muhimu kwa Mazoezi ya Nyumbani  Read More »

Arthritis

Maumivu Sugu ya Joint (Arthritis) na tiba yake 

Shirika la Afya duniani (WHO) linaelezea ugonjwa sugu kama ugonjwa unaodumu zaidi ya miezi mitatu na kuendelea.  Ugonjwa wa Arthritis ni miongoni mwa magonjwa sugu yanayosumbua sana jamii. Wagonjwa huelezea kupata maumivu makali yanayopelekea washindwe kulala usiku na kufanya shughuli zao za kiila siku.  Baadhi ya dalili za ugonjwa huu ni maumivu makali yanayokuja hasa

Maumivu Sugu ya Joint (Arthritis) na tiba yake  Read More »

Hiki ndicho hutokea baada ya kupata au kunusurika ajali

1. Athari ya kisaikologia (mental trauma) Mtu aliyepona au kunusurika na ajali huathirika kisaikologia kiasi cha kuogopa hata kupanda gari, na anapopanda gari basi huwa na hofu kubwa sana (phobia). Jambo hili huweza kuathiri mpaka utendaji wake wa kazi. 2. Maumivu ya viungo Baada ya ajali, mtu huweza kuvunjika au kupata maumivu/majeraha makubwa ambayo huweza

Hiki ndicho hutokea baada ya kupata au kunusurika ajali Read More »

Daktari kwanini usianzishe huduma ya afya nyumbani?

Ni maneno ya kaka mmoja, Bwana Erick Rutahya, aliyekuwa akimuuguza mke wake mwenye kansa ya titi. Walikuwa wanaishi maeneo ya kimara suka. Nilikutana naye wakati amekuja kuchukua majibu ya vipimo vya mke wake katika kituo cha afya nlichokuwa nafanya kazi, MCD Hospital. Baada ya kunielezea hali ya mke wake na jinsi ilivyo changamoto kumsafirisha mpaka

Daktari kwanini usianzishe huduma ya afya nyumbani? Read More »

Jinsi ya kuishi na ugonjwa wa Moyo, kisukari, HIV/UKIMWI, au Kansa baada ya kutoka hospitali

Kumeza dawa zako kila siku na muda ule ule – hii ni ishara ya nidhamu na kukubali ugonjwa Na mara kwa mara wagonjwa wanao fanya Hivi huwa na matokeo mazuri. Epuka kumeza dawa kadiri unavojiskia na Kutomeza siku kadhaa, hii huuchanganya mwili na kufanya ugonjwa wako kuendelea kukua. Kuwa na daktari wako wa karibu Hii

Jinsi ya kuishi na ugonjwa wa Moyo, kisukari, HIV/UKIMWI, au Kansa baada ya kutoka hospitali Read More »

What you didn’t know about home healthcare services

1. It is not a luxury service, it’s a health improvement service. 2. It ain’t grandeur to have your own doctor for consultation, rather it’s a sign for personal development and growth 3. It’s a ‘must’ service if you have a chronic sick patient For more information about our home healthcare services, please visit our

What you didn’t know about home healthcare services Read More »